KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, Jumanne alitetea uamuzi wake wa kutia saini mkataba wa ushirikiano na Rais William Ruto, akifichua kuwa ni Rais mwenyewe aliyemsaka amsaidie. Bw Odinga alisema kuwa uamuzi wake…
Category: Politics
Afueni kwa wazazi wizara ikisema hisabati na sayansi sio lazima Sekondari Pevu
SERIKALI imefanunua kwamba haitakuwa lazima wanafunzi wa Gredi 10, 11, na 12 kusoma masomo hisabati na sayansi. Badala yake wanafunzi hao wana uhuru wa kuchagua masomo wanayotaka kulingana na uwezo na matamanio…
Tukio adimu Ramadhani na Kwaresma zikiwasili wakati mmoja na kukoleza imani, upendo
KADRI mwangaza wa alfajiri unavyotokea, dunia huamka kutoka usingizini na waumini wa dini mbili—Ukristo na Uislamu—huamka kwa unyenyekevu. Huu ni mwezi ambapo waumini wa dini hizi mbili, ingawa na imani tofauti, wanazingatia…
Murang’a Family Seeks Government Help After Daughter’s Death Sentence in Vietnam
In the tranquil village of Karikwe in Kiharu, Murang’a County, a family is reaching out for help from the Kenyan government after their daughter, Margaret Nduta Macharia, was sentenced to death in…
Daraja hatari Ololulunga lililopindika na kutingika wakazi wanapopita
DARAJA la Oleshapani – Ololoipangi katika wadi ya Ololulunga eneo bunge la Narok Kusini linatatiza huduma za usafiri kutokana na ujenzi mbovu ambao unasababisha kutingika wakati wapitanjia na waendesha magari wanapotumia. Daraja…
Kioja jijini Nairobi, mwanamume akijaribu kujiua kwa kujiteketeza nje ya Mahakama ya Juu
IDARA ya Mahakama inachunguza kiini cha hatua ya mwanamume mmoja kujiteketeza nje ya majengo ya Mahakama ya Juu, Nairobi Jumanne, Machi 11, 2025. Kwenye taarifa aliyotoa baada ya mwanamume huyo kuokolewa na…
Sudi aondolea kesi Gen Z waliovamia na kuiba katika kilabu chake cha Timba XO
NI afueni kwa vijana 16 wa Gen Z ambao wamekuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuiba mali ambayo ilikuwa ni pamoja na vifaa pombe na kuharibu mali nyingine yote ya kima cha Sh150…
Mamapima audhi wateja kudai binti yake hawezi kabisa kuolewa na mlevi
KIOJA kilizuka katika boma la mamapima wa eneo la Nyamachaki, Nyeri baada ya wateja wake kumfokea kwa kuwadharau. Inadaiwa kwamba makalameni waliokuwa wakiburudika kwa mamapima waliudhika baada ya mamapima kudai binti wake…
TAHARIRI: Raila ana fursa ya kumshawishi Ruto aimarike
BAADA ya juhudi kadhaa za kumrai Rais William Ruto abadili baadhi ya mipango yake kukosa kufaulu, sasa Rais ana nafasi moja ya kuokoa hatima yake. Miongoni mwa mipango inayotishia kufaulu kwa Rais…
Amerika yaondoa raia wake Juba vita vikinukia
WASHINGTON, Amerika WIZARA ya Masuala ya Kigeni ya Amerika imeamuru wafanyakazi wa ubalozi wake kuondoka jiji Juba Sudan Kusini huku taharuki ikitanda nchini humo baada ya mapigano yanayoendelea kaskazini mwa nchi hiyo….
MAONI: Raila si msaliti, wakosoaji wake pia wana fursa kujaribu upinzani
KINARA wa upinzani Raila Odinga hajamsaliti mtu yeyote baada ya kuingia kwenye muafaka na Rais William Ruto kwa sababu alifanya hivyo kuhakikisha taifa linasalia dhabiti na linadumisha umoja. Mnamo Ijumaa wiki jana,…
Guardiola arejea Uhispania kisiri kujaribu kuokoa ndoa yake na Cristina
IMEFICHUKA kuwa kocha Pep Guardiola alifunga safari ya siri ya siku tatu kwenda Barcelona kujaribu kuokoa ndoa yake kwa kukaa pamoja na mkewe Cristina nyumbani kwao Uhispania. Inaonekana kuwa mkufunzi huyo wa…
Kesi ya kutafuta haki kwa Rex Masai yaahirishwa baada ya shahidi muhimu kukosa kuwasili
UCHUNGUZI wa mahakama kubaini kilichosababisha kifo cha Gen Z mwanaharakati Rex Masai Juni 2024 uliahirishwa hadi Alhamisi wiki hii. Hii ni baada ya afisa wa polisi aliyekuwa msimamizi wa utoaji na matumizi…
Urafiki wa Ruto, Raila watia ODM kiwewe uchaguzi mdogo wa Magarini
VIONGOZI wa ODM katika Kaunti ya Kilifi, wameomba aliyekuwa Mbunge wa Magarini, Bw Harrison Kombe, aungwe mkono na chama hicho pamoja na Kenya Kwanza katika uchaguzi mdogo. Bw Kombe alipoteza kiti hicho…
Kituo cha data Naivasha kilichofyonza Sh2 bilioni za walipa ushuru bado hakifanyi kazi
MRADI wa serikali wa ujenzi wa kituo cha kitaifa cha kuendesha shughuli za ukomboaji wa data, mjini Naivasha, Kaunti ya Nakuru wa gharama ya Sh2 bilioni haujafaidi walipa kodi. Baada ya zaidi…